Machapisho

HABARI KUBWA

IAASO YAWAPONGEZA WAANDAAJI TAMASHA LA SILENT OCEAN UNI AWARDS 2026

Serikali ya wanafunzi Chuo Cha Uhasibu Arusha-IAASO imewapongeza waandaaji wa tamasha kubwa la ugawaji tuzo kwa wanachuo wenye vipaji nchini Tanzania (Silent Ocean Uniawards) linalofanyika IAA kwa mwaka huu. Akizungumza kwa niaba ya rais leo 24 April, 2026 katika semina ya "Kontena la Fursa" , Mhe. Frank Michael ambaye pia ni Waziri wa Habari na Mawasiliano amesema tamasha hilo ni fursa na wanafunzi wa IAA wenye vipaji wamejiandaa vizuri kuhakikisha wanaibuka washindi wa tuzo hizo. Hata hivyo, leo wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wamepata fursa ya kushiriki semina maalum iliyolenga kuwajengea uelewa kuhusu biashara na utambuzi wa fursa za kujipatia kipato mtandaoni. Kupitia semina hii ya leo April 24, 2026, wanafunzi wamejifunza mbinu tofauti za kuanzisha na kuendesha biashara, pamoja na uelewa wa njia bora za usafirishaji wa bidhaa, huku wakisisitizwa umuhimu wa matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kama nyenzo muhimu katika kukuza biashara na kuongeza vipat...

WAZIRI MKUU MAPENE AFANYA ZIARA CHUO KIKUU ZANZIBAR-ZU

RAIS WAMBURA ASHIRIKI KWIBUKA 32 [KUMBUKIZI MAUAJI YA KIMBARI RWANDA 1994]

MFAHAMU ANETH MWANAFUNZI WA IAA ALIYEFARIKI DUNIA AKIWA MWAKA WA 3

TIRA YATOA ELIMU YA BIMA KWA WANAFUNZI IAA

ISRC, BARAZA LA MAWAZIRI WAKUTANA KUJADILI MABADILIKO YA KATIBA

RAIS WAMBURA APONGEZA DCEA NA IAA KUANDAA WARSHA

MAPOKEZI YA MGENI RASMI IAA FRESHERS' PARTY 2026

USIKU WA IAA FRESHERS’ PARTY 2026 NA BURUDANI ZA WASANII JUKWAANI

VIONGOZI IAASO, CRs WAFUNDWA MAADILI YA UONGOZI